728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, June 10, 2017

    Haya ndiyo majina ya wachezaji waliotemwa na vilabu vya ligi kuu England,Wamo Terry, Ibrahimovic, Sanogo na Benteke


    London England.

    VILABU vya ligi kuu ya soka nchini England leo vimetoa orodha ya majina ya wachezaji watakaokuwemo kwenye vikosi vyao msimu ujao huku pia vikitoa orodha ya majina ya wachezaji watakaotemwa na kuwa huru kujiunga na vilabu vingine.

    Baadhi ya majina ya wachezaji nyota waliothibitishwa kutemwa na vilabu vyao ni pamoja na John Terry ambaye ametangazwa kutupiwa virago na klabu yake ya Chelsea baada ya kuhudumu kwa kipindi cha zaidi ya miaka 20.

    Mwingine ni Joey Barton ambaye ameachwa na klabu yake ya Burnley baada ya hivi karibuni kufungiwa miezi 18 na chama cha soka nchini England (FA) kwa kosa la kujihusisha na uchezaji wa kamari.

    Arsenal imemtupia virago mshambuliaji wake Mfaransa ,Yaya Sanogo aliyefanikiwa kuichezea klabu hiyo michezo 20 pekee tangu ajiunge nayo mwaka 2013 akitokea klabu ya Auxerre.

    Everton imemwacha mshambuliaji wake mahiri kutoka nchini Ivory Coast,Arouna Kone huku mabingwa wa Europa Ligi Manchester United imemtema mshambuliaji wake majeruhi ,Msweden Zlatan Ibrahimovic.

    Crystal Palace ndiyo klabu iliyotema wachezaji wengi.Jumla imetema wachezaji 11 ambao ni Fraizer Campbell na Joe Ledley.Kiungo wa zamani wa Arsenal Mathieu Flamini nae ametemwa pamoja na Jonathan Benteke ambaye ni kaka mdogo wa mshambuliaji Christian Benteke.


    Orodha kamili ya wachezaji waliotemwa 

    Bournemouth

    Callum Buckley
    Jake McCarthy Jake
    Alexander Neale

    Arsenal

    Kristopher Da Graca
    Stefan O'Connor
    Yaya Sanogo

    Burnley

    Joey Barton
    George Green
    Christian Hill
    Michael Kightly
    Taofiq Olomowewe
    Richard Pingling

    Chelsea

    John Terry

    Crystal Palace

    Corie Andrews
    Kwesi Appiah
    Jonathan Benteke
    Fraizer Campbell
    Luke Croll
    Mathieu Flamini
    Zeki Fryers
    Ryan King-Elliott
    Joe Ledley
    Randell Williams
    Ben Wynter

    Everton

    Jack Bainbridge
    Delial Brewster
    Michael Donohue
    Tyrone Duffus
    Russell Griffiths
    Connor Hunt
    Arouna Kone
    Conor McAleny
    Josef Yarney
    James Yates

    Leicester City

    Michael Cain
    David Domej
    Brandon Fox
    Cedric Kipre
    Matthew Miles
    Kairo Mitchell
    Marcin Wasilewski

    Liverpool

    Tom Brewitt
    Jake Brimmer
    Jack Dunn
    Madger Antonio
    Kane Lewis
    Alex Manninger
    Adam Phillips

    Manchester City

    Callum Bullock
    Willy Caballero
    Gael Clichy
    Jesus Navas
    Ellis Plummer
    Bacary Sagna
    Pablo Zabaleta

    Manchester United

    Zlatan Ibrahimovic

    Southampton

    Martin Caceres
    Lloyd Isgrove
    Cuco Martina

    Stoke City

    Daniel Bachmann
    Liam Edwards
    Shay Given
    Harvey Isted
    Joel Taylor
    George Waring

    Swansea City

    Tom Dyson
    Marvin Emnes
    Thomas Holland
    Owain Jones
    Alex Samuel
    Liam Shephard
    Gerhard Tremmel
    Josh Vickers

    Tottenham Hotspur

    Filip Lesniak

    Watford

    Ola Adeyemo
    Charlie Bannister
    Rene Gilmartin
    Juan Francisco Moreno Fuertes
    Ogochukwu Oulare
    Rhyle Ovenden
    Mathias Ranegie

    West Bromwich Albion

    Daniel Barbir
    Zachary Elbouzedi
    Darren Fletcher
    Callam Jones
    Sebastien Pocognoli
    Andre Wright

    West Ham United

    Alvaro Arbeloa
    Samuel Ford
    Samuel Howes
    Kyle Knoyle
    Samuel Westley

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Haya ndiyo majina ya wachezaji waliotemwa na vilabu vya ligi kuu England,Wamo Terry, Ibrahimovic, Sanogo na Benteke Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top