728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, June 10, 2017

    Mbaraka Yusuf siyo siri tena,awa mali ya Azam FC


    Paul Manjale,Dar Es Salaam.

    MBARAKA YUSUF akipiga picha za ukumbusho mara baada ya kusaini kandarasi ya miaka miwili ya kuichezea Azam FC.

    Mbaraka amejiunga na Azam FC akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza kandarasi yake ya mwaka mmoja na Kagera Sugar ya mkoani Kagera.

    Mbaraka anakuwa mchezaji wa pili kutua Azam FC katika kipindi cha wiki moja baada ya Wazir Junior aliyetua akitokea Toto Africans ya Mwanza kwa kandarasi ya miaka miwili.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Mbaraka Yusuf siyo siri tena,awa mali ya Azam FC Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top