728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, June 14, 2017

    Utaratibu mpya wa usajili wa mawakala wa wachezaji waja



    Dar Es Salaam,Tanzania.

    Baada ya kufutwa utaratibu wa
    mawakala ‘agents’ wa wachezaji wa
    kulipwa, Shirikisho la Kimataifa la Mpira
    wa Miguu (FIFA), lilitangaza utaratibu
    mpya wa kukasimu majukumu hayo
    kwenye ngazi ya mashirikisho kwa kila
    taifa.

    Hivyo kwa mwaka 2016/2017, hakuna
    usajili wala uhamisho uliofanywa na
    watu wa kati yaani intermediaries
    wanaotambulika na TFF.

    TFF - Shirikisho la Mpira wa Miguu
    Tanzania, linakwenda sambamba na
    utaratibu huo wa mabadiliko na kwa
    sasa linakamilisha mipango ya kusajili
    watu wa kati wa usajili watakaofahamika
    kama intermediaries.

    Usahili wa kati utatangazwa baada ya
    kikao cha Kamati ya Utendaji
    kitakachojadili kanuni za watu wa kati
    hapo baadaye.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Utaratibu mpya wa usajili wa mawakala wa wachezaji waja Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top