728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, June 14, 2017

    Yanga SC yaanza usajili rasmi,yamnasa beki wa Jang'ombe



    Dar Es Salaam,Tanzania.

    Mabingwa mara tatu mfululizo wa ligi kuu ya soka ya Tanzania bara ,Yanga SC wameanza kukiimarisha kikosi chao tayari kwa michuano mbalimbali msimu ujao baada ya leo kumsajili beki kisiki wa kati wa timu ya Taifa ya Jang'ombe, Abdallah Haji Shaibu maarufu kama "Ninja".

    Ninja amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuwatumikia mabingwa hao ambao katika kipindi cha hivi karibuni wamekuwa kimya sana katika masuala mazima ya usajili kiasi cha kuanza kubezwa kuwa wamefulia.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Yanga SC yaanza usajili rasmi,yamnasa beki wa Jang'ombe Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top