728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, September 07, 2016

    KUTOKA KWA RYAD MAHREZ MPAKA KWA ERICK BAILLY HAWA NDIYO NYOTA WA AFRIKA WATAKAOKOSEKANA LIGI KUU ENGLAND MWEZI JANUARI KISA AFCON




    Cairo,Misri

    Wakati michuano ya Afcon ikitarajiwa kuanza kutimua vumbi lake mwezi Januari mwakani nchini Gabon,vilabu vingi vinavyoshiriki ligi kuu Uingereza (EPL) vimeanza kuingiwa mchecheto kutokana na wachezaji wao wengi kuwa katika mipango ya timu zao za taifa tayari kwa michuano hiyo mikubwa zaidi Afrika.


    Eric Bailly, who has impressed for Manchester United, should be involved in the tournament
     Erick Bailly-Manchester United

    Wafuatao ni wachezaji ambao mwezi Januari watakuwa na timu zao za taifa katika michuano ya AFCO.

    Bailly, Manchester United – Ivory Coast
    Toure, Manchester City – Ivory Coast 
    Traore, Middleborough – Mali
    Boufal, Southampton – Morocco
    Djilobodji, Sunderland – Senegal 

     Sunderland, one of the most badly hit sides by likely absentees, will lose Lamine Kone
     Lamine Kone-Sunderland

    Khazri, Sunderland – Tunisia
    Kone, Sunderland – Ivory Coast
    Ndong, Sunderland – Gabon
    Bony, Stoke City – Ivory Coast
    Diouf, Stoke – Senegal
    Sobhi, Stoke – Egypt
    Amrabat, Watford – Morocco
    Dja Djedje, Watford – Ivory Coast
    Guediora, Watford – Algeria
    Nyom, West Brom – Cameroon 

     Adama Traore, who joined Middlesbrough from Aston Villa, could be part of the Mali side
     Adam Traore-Middlesbrough

    Ayew, A, West Ham – Ghana
    Feghouli, West Ham – Algeria
    Kouyate, West Ham – Senegal 
    Sakho, West Ham – Senegal

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: KUTOKA KWA RYAD MAHREZ MPAKA KWA ERICK BAILLY HAWA NDIYO NYOTA WA AFRIKA WATAKAOKOSEKANA LIGI KUU ENGLAND MWEZI JANUARI KISA AFCON Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top