728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, September 17, 2016

    LIONEL MESSI AVUNJA REKODI YA LEGENDI WA REAL MADRID NA KUWEKA YA KWAKE


    Leganes,Hispania.

    MABAO mawili aliyofunga Lionel Messi (Pichani) mchana wa leo katika dimba la uwanja wa Estadio Municipal de Butarque na kuiwezesha timu yake ya Barcelona kushinda mabao 5-1 dhidi ya Deportivo Leganes yamemfanya staa huyo wa Argentina kuwa mchezaji wa kwanza kufunga mabao katika viwanja 34 tofauti nchini Hispania na kuvunja rekodi ya nyota wa zamani wa Real Madrid Raul Gonzalez aliyefunga katika viwanja 33 tofauti.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LIONEL MESSI AVUNJA REKODI YA LEGENDI WA REAL MADRID NA KUWEKA YA KWAKE Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top