728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, September 09, 2016

    EPL:TUZO YA KOCHA BORA WA MWEZI AGOSTI YAENDA HULL CITY YA BAO BORA YAENDA MIDO

    London,Uingereza.

    MENEJA wa muda wa Hull City,Mike Phelan na winga wa Manchester City,Raheem Sterling,kwa pamoja leo wametangazwa washindi wa tuzo yameneja na mchezaji bora wa mwezi Agosti wa ligi kuu England.





    Phelan, 53,ameibuka mshindi mbele ya mameneja Jose Mourinho,Pep Guardiola na Antonio Conte baada ya kuipa Hull City ushindi katika michezo miwili kati ya mitatu ya mwanzo.

    Tuzo ya bao bora la mwezi Agosti imekwenda kwa mshambuliaji wa Middlesbrough,Cristhian Stuani,bao hilo ni lile la mita 25 alilolifunga dhidi ya Sunderland.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: EPL:TUZO YA KOCHA BORA WA MWEZI AGOSTI YAENDA HULL CITY YA BAO BORA YAENDA MIDO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top