728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, January 04, 2016

    IBRAHIM HAJIB HUYOOO TP MAZEMBE KWA MAJARIBIO

    Dar es salaam,Tanzania.

    Mshambuliaji wa Simba SC Ibrahim Hajib wiki hii anatarajiwa kwenda Lubumbashi Kongo kufanya majaribio katika klabu ya TP Mazembe.

    Hajib amepata nafasi hiyo baada ya TP Mazembe kuvutiwa na uwezo wake wa kufumania nyavu anaoendelea kuuonyesha akiwa na Simba SC.

    Mbali ya Hajib kiungo wa
    Mtibwa Sugar ya Morogoro,
    Mohammed Ibrahim naye yuko katika mpango wa kwenda kujaribiwa Mazembe.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: IBRAHIM HAJIB HUYOOO TP MAZEMBE KWA MAJARIBIO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top