728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, January 30, 2016

    PATO AMWAGA WINO CHELSEA MPAKA MWISHO WA MSIMU,MMAREKANI AFUATIA

    London,England.

    Mshambuliaji Alexander Pato amejiunga na Chelsea kwa mkopo wa miezi sita akitokea Corinthias ya nyumbani kwao Brazil.

    Pato,26 aliyewahi kutamba na Ac Milan ya Italia amekuwa ni Mbrazil wa 67 kujiunga na klabu ya ligi kuu England baada ya Mirandinha kuweka historia ya kuwa Mbrazil wa kwanza kucheza ligi kuu England baada ya kusajiliwa na Newcastle mwaka 1987.

    Wakati huohuo Chelsea iko karibu kuinasa saini ya mlinzi mwenye miaka 20 Matt Miazga toka New York Red Bulls ya Marekani.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: PATO AMWAGA WINO CHELSEA MPAKA MWISHO WA MSIMU,MMAREKANI AFUATIA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top