728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, January 06, 2016

    CHANONGO,UBWA WAANZA MAJARIBIO TP MAZEMBE

    Lubumbashi,

    Wachezaji wa Stand United ya Shinyanga, beki Abuu Ubwa (kulia) na winga Haroun Chanongo (kushoto) wakiwa na jezi za TP Mazembe Uwanja wa Mazembe mjini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) jana baada ya kuanza majaribio yao ya
    wiki moja kuwania kujiunga na mabingwa hao wa Afrika. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: CHANONGO,UBWA WAANZA MAJARIBIO TP MAZEMBE Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top