728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, January 15, 2016

    ELNENY AOTA MATAJI MATATU ARSENAL

    London,England.

    Kiungo mpya wa Arsenal Mmisri Mohammed Elneny anaamini ujio wake katika klabu hiyo ya London utaleta mataji matatu msimu huu.

    Elneny,23 aliyejiunga na Arsenal jana alhamisi kwa ada ya paundi millioni 5 akitokea FC Basel ya Uswisi amesema mchango wake utaiwezesha Arsenal kutwaa mataji ya ligi kuu,FA na ligi ya mabingwa Ulaya licha ya kuwa na mchezo mgumu dhidi ya mabingwa watetezi FC Barcelona.

    Elneny anatarajiwa kuanza kuichezea Arsenal jumapili hii katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Stoke City huko Brittania.




    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: ELNENY AOTA MATAJI MATATU ARSENAL Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top