728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, January 14, 2016

    REAL MADRID,ATLETICO MADRID ZAPIGWA STOP KUSAJILI WACHEZAJI

    Madrid,Hispania.

    Miamba wa Uhispania Real Madrid na Atletico Madrid wamepigwa marufuku kutonunua wachezaji wapya mpaka hapo mwaka 2017.

    Klabu hizo zimeadhibiwa na shirikisho la soka duniani Fifa kwa kukiuka sheria za uhamisho wa wachezaji kuhusu kununuliwa kwa wachezaji ambao bado ni watoto.

    Marufuku hiyo haitaathiri kipindi cha sasa cha kununua wachezaji, ambacho kinaendelea hadi mwisho wa mwaka huu.

    Atletico pia wametozwa faini franka 900,000 za Uswizi ambazo ni sawa na pauni 622,000 za Uingereza, nao Real wakatakiwa kulipa franka 360,000 (£249,000).

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: REAL MADRID,ATLETICO MADRID ZAPIGWA STOP KUSAJILI WACHEZAJI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top