728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, January 03, 2016

    MAN CITY YAENDELEA KUFUKUZA MWIZI KIMYA KIMYA,YAICHAPA WATFORD 2-1 UGENINI

    Watford,England.

    Man City imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Watford ikiwa ugenini. Lakini ililazimika kusubiri hadi dakika ya 82 kwa bao safi la shuti la la Yaya Toure
    aliyeunganisha krosi.

    Dakika ya 85, Kun Aguero naye alifunga bao la pili kwa kichwa huku mabeki wa
    Watford wakiwa wametegeana. Kabla
    Watford walikuwa wamepata bao la katika dakika ya 55 baada ya Kolarov wa Man City kujifunga.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MAN CITY YAENDELEA KUFUKUZA MWIZI KIMYA KIMYA,YAICHAPA WATFORD 2-1 UGENINI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top