728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, January 01, 2016

    WINGA AZAM FC AITWA ULAYA KWA MAJARIBIO

    Dar es salaam,Tanzania.

    WINGA mahiri chipukizi wa Azam FC Farid Mussa mapema wiki ijayo anatarajia kwenda Hispania kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa.

    Taarifa zilizopatikana na kuthibitishwa na Farid mwenyewe ni kuwa klabu ya Slovenia ya FC Olimpija Ljubljana ambayo itakuwa nchini Hispania kwa kambi na mazoezi imempa mwaliko wa kufanya nayo majaribio kwa muda wa siku kumi na ikiwa atafaulu itamsajili moja kwa moja.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: WINGA AZAM FC AITWA ULAYA KWA MAJARIBIO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top