728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, January 27, 2016

    BAI BAI:RAMIRES AIHAMA CHELSEA KWA DONGE NONO

    London,England.

    Klabu ya Chelsea imeendelea kunenepesha akaunti yake baada ya leo hii kumuuza kiungo Mbrazil Ramires Santos do Nascimento kwenda klabu ya Jiangsu Suning ya China inayonolewa na nyota wake wa zamani Dan Petrescu kwa dau la £25m.

    Ramires,28 ameihama Chelsea baada ya kuitumikia kwa miaka mitano na nusu tangu ajiunge nayo mwaka 2010 akitokea Benfica ya Ureno kwa dau la £18m na kufanikiwa kufunga magoli 34 katika michezo 251.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: BAI BAI:RAMIRES AIHAMA CHELSEA KWA DONGE NONO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top