728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, January 28, 2016

    MBWANA SAMATTA APAA UBELGIJI TAYARI KUJIUNGA NA GENK

    Dar es salaam,Tanzania.


    Mbwana Samatta ‘Popa’ ameondoka usiku wa Januari 27 kuelekea Ubeligiji kujiunga rasmi na klabu ya Genk inayoshiriki ligi kuu ya Ubeligiji maarufu kama Belgian Pro League.

    Akiwa tayari amesaini mkataba na klabu hiyo,Samatta alikuwa anasubiri ‘taa ya kijani’ kutoka kwa boss wa TP Mazembe Moise Katumbi ambaye mwanzoni alikuwa anaweka ‘kauzibe’ kutoa ruhusa kwa mshindi huyo wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa
    wachezaji wa ligi za Afrika kwenda kujiunga na klabu ya Genk.

    January 28 (Alhamisi) Samatta atakuwa ameshawasili nchini Ubeligiji tayari kwa ajili ya kuanza majumu mapya kwenye klabu hiyo ya barani Ulaya

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MBWANA SAMATTA APAA UBELGIJI TAYARI KUJIUNGA NA GENK Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top