728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, January 29, 2016

    MALOUDA ATUA LIGI KUU YA MISRI

    Cairo,Misri.

    Winga wa zamani wa Chelsea Mfaransa Florent
    Malouda amesaini mkataba wa miezi sita wa kuichezea Wadi Degla FC inayokipiga katika ligi kuu ya Misri.

    Malouda,34 amesaini mkataba huo leo huko Ufaransa na anatarajiwa kuwasili Misri mapema wiki ijayo baada ya kumaliza mkataba wake na Delhi Dynamos ya India.

    .

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MALOUDA ATUA LIGI KUU YA MISRI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top