728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, January 31, 2016

    SUAREZ AMWAGA WINO KUICHEZEA WATFORD

    Watford,England.

    Klabu ya Watford imeendelea kujiimarisha baada ya kumsajili kiungo Muhispania Mario Suarez toka Fiorentina kwa ada ya paundi millioni 4.

    Suarez,28 amesaini mkataba wa miaka minne na nusu kuichezea miamba hiyo ya Vicarage Road inayotesa ligi kuu England.

    Kabla ya kutua Fiorentina msimu uliopita Suarez alikuwa sehemu ya kikosi cha Atletico Madrid kilichotwaa ubingwa wa La Liga mwaka 2014/2015.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: SUAREZ AMWAGA WINO KUICHEZEA WATFORD Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top