728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, January 05, 2016

    OZIL NDIYE BORA ZAIDI ENGLAND KWA MWEZI DISEMBA.

    London,England.

    Kiungo wa Arsenal Mesut Ozil ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Disemba ya PFA (Fans' Player of the Month) kwa mara ya pili mfululizo.

    Ozil ametwaa tuzo hiyo baada ya kupika/assist mabao matano na kufunga moja

    Hii ni mara ya pili kwa Ozil kutwaa tuzo hiyo mara ya kwanza ilikuwa mwezi Novemba.

    Nyota wengine waliokuwa wakiiwania tuzo hiyo ni Adrian (West Ham), Dele Alli
    (Tottenham), Junior Stanislas (Bournemouth),Marko Arnautovic (Stoke), N'Golo Kante (Leicester), Olivier Giroud (Arsenal), Romelu
    Lukaku (Everton), Troy Deeney (Watford) and
    Yannick Bolasie (Crystal Palace).

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: OZIL NDIYE BORA ZAIDI ENGLAND KWA MWEZI DISEMBA. Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top