728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, January 01, 2016

    LIGI KUU BARA:SIMBA YAUNGURUMA MTWARA,YAISHINDA MCHEZO WAKE WA KIPORO DHIDI YA NDANDA FC

    Mtwara,Tanzania.

    Simba SC imewapa mashabiki wake zawadi ya mwaka mpya baada ya leo jioni kuilaza Ndanda FC kwa bao 1-0 katika mchezo wa kiporo wa ligi kuu uliopigwa katika dimba la Nangwanda,Mtwara.

    Bao lililoipa ushindi Simba SC limefungwa kipindi cha pili dakika ya 81 na mshambuliaji kinda Ibrahim Ajibu.

    Kufuatia ushindi huo Simba SC imechupa mpaka nafasi ya 3 katika msimamo wa ligi kuu Tanzania Bara bada ya kufikisha pointi 27.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LIGI KUU BARA:SIMBA YAUNGURUMA MTWARA,YAISHINDA MCHEZO WAKE WA KIPORO DHIDI YA NDANDA FC Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top