728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, October 15, 2016

    Akina Samatta dimbani tena leo


    Mouscron,Ubelgiji.

    MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania,Mbwana Ally Samatta,leo usiku mishale ya saa 3:30 atakuwa na kibarua kigumu cha kuiongoza KRC Genk, ugenini huko Stade Le Canonnier kuvaana na Royal Excel Mouscron katika mchezo wa mzunguko wa kumi wa ligi kuu ya Ubelgiji maarufu kama Belgian Pro League

    KRC Genk inaingia katika mchezo wa leo ikiwa katika nafasi ya tisa baada ya kujikusanyia pointi 13 kufuatia kucheza michezo tisa.Royal Excel Mouscron iko nafasi ya kumi na mbili baada ya kujikusanyia pointi 9 katika michezo tisa.

    Michezo Mingine - Belgian Pro League

    KV Kortrijk v Standard Liege

    Sint Truidense VV v KVC Westerlo

    Waasland Beveren v KAS Eupen

    Mouscron-Peruwelz v KRC Genk 




    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Akina Samatta dimbani tena leo Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top