728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, October 18, 2016

    Ligi ya mabingwa Ulaya:Michezo 8 kupigwa leo,Kesho 8,ratiba kamili iko hapa.


    Madrid,Hispania.

    LIGI ya mabingwa barani Ulaya maarufu kama UEFA Champions League inaendelea tena leo Jumanne kwa michezo minane kuchezwa katika viwanja vya miji mbalimbali barani humo.

    Mabingwa wa kihistoria wa michuano hiyo Real Madrid watakuwa nyumbani Santiago Bernabeu kuwaalika Legia Warzawa kutoka Poland.

    Mabingwa wa England,Leicester City watakuwa katika uwanja wao wa nyumbani wa King Power Stadium kupepetana na FC Copenhagen ya Denmark.

     Jumanne Octoba 18,2016

    Kundi E

    Bayer Levkn v Tottenham

    CSKA v Monaco

    Kundi F

    Real Madrid v Legia Warzawa

    Sporting v Bor Dortmd

    Kundi G

    Club Brugge v FC Porto

    Leicester v FC Copenhagen

    Kundi H

    Dinamo Zagreb v Sevilla

    Lyon v Juventus

    Jumatano Octoba 19,2016

    Kundi A

    Arsenal v Ludo Razgd

    Paris St G v Basel

    Kundi B

    Dynamo Kiev v Benfica

    Napoli v Besiktas

    Kundi C

    Barcelona v Man City

    Celtic v Bor Monchengladbach

    Kundi D

    Bayern Mun v PSV Eindhoven

    FC Rostov v Atl Madrid



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Ligi ya mabingwa Ulaya:Michezo 8 kupigwa leo,Kesho 8,ratiba kamili iko hapa. Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top