728x90 AdSpace

Tuesday, October 18, 2016

Ligi ya mabingwa Ulaya:Michezo 8 kupigwa leo,Kesho 8,ratiba kamili iko hapa.


Madrid,Hispania.

LIGI ya mabingwa barani Ulaya maarufu kama UEFA Champions League inaendelea tena leo Jumanne kwa michezo minane kuchezwa katika viwanja vya miji mbalimbali barani humo.

Mabingwa wa kihistoria wa michuano hiyo Real Madrid watakuwa nyumbani Santiago Bernabeu kuwaalika Legia Warzawa kutoka Poland.

Mabingwa wa England,Leicester City watakuwa katika uwanja wao wa nyumbani wa King Power Stadium kupepetana na FC Copenhagen ya Denmark.

 Jumanne Octoba 18,2016

Kundi E

Bayer Levkn v Tottenham

CSKA v Monaco

Kundi F

Real Madrid v Legia Warzawa

Sporting v Bor Dortmd

Kundi G

Club Brugge v FC Porto

Leicester v FC Copenhagen

Kundi H

Dinamo Zagreb v Sevilla

Lyon v Juventus

Jumatano Octoba 19,2016

Kundi A

Arsenal v Ludo Razgd

Paris St G v Basel

Kundi B

Dynamo Kiev v Benfica

Napoli v Besiktas

Kundi C

Barcelona v Man City

Celtic v Bor Monchengladbach

Kundi D

Bayern Mun v PSV Eindhoven

FC Rostov v Atl Madrid



  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: Ligi ya mabingwa Ulaya:Michezo 8 kupigwa leo,Kesho 8,ratiba kamili iko hapa. Rating: 5 Reviewed By: Unknown