728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, October 11, 2016

    KOMBE LA DUNIA:UFARANSA 1,URENO 6 MATOKEO YOTE YAKO HAPA

    Amsterdam,Uholanzi.

    PAUL Pogba (Pichani) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Ufaransa bao la umbali wa mita 30 na kuiwezesha kuchomoza na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Uholanzi katika mchezo mkali wa kundi A wa kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya kombe la dunia la mwaka 2018 nchini Urusi huko Amsterdam Arena,Uholanzi.



    Katika mchezo mwingine wa kufuzu kombe la dunia,mabingwa wa Ulaya,Ureno,wameichapa timu kibonde ya Visiwa vya Faroe kwa mabao 6-0 huko Torsvoellur Stadium.

    Ureno imepata mabao yake kupitia kwa André Silva aliyefunga mara tatu,Cristiano Ronaldo,João Moutinho na João Cancelo wamefunga mara moja moja.

    MATOKEO MENGINE

    GROUP A
    Belarus 1-1 Luxembourg
    Sweden 3-0 Bulgaria

    GROUP B
    Andorra 1-2 Switzerland
    Faroe Islands 0-6 Portugal
    Latvia 0-2 Hungary

    GROUP H
    Bosnia-Herzegovina 2-0 Cyprus
    Estonia 0-2 Greece
    Gibraltar 0-6 Belgium


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: KOMBE LA DUNIA:UFARANSA 1,URENO 6 MATOKEO YOTE YAKO HAPA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top