728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, June 10, 2015

    IMETOSHA SASA!!ARSENAL YAMTEMA ABOU DIABY

    Habari na Paul Manjale


    Siku za kiungo Abou Diaby ndani ya klabu ya Arsenal hatimaye zimefikia kikomo baada ya
    klabu hiyo kumuengua katika kikosi chake cha msimu ujao.

    Diaby ambaye alitua Arsenal mwaka 2006 akitokea klabu ya Auxier ya nyumbani kwao Ufaransa leo ametangazwa kutoongezewa mkataba mpya baada ya uliopo kuwa umefikia tamati.

    Arsenal imefikia hatua hiyo baada ya kuchoshwa na majerahi yake yasiyopona kwani mpaka sasa kiungo huyo mrefu ameumia zaidi ya mara 40.

    Diaby anaondoka akiwa amefanikiwa kuifungia Arsenal jumla ya magoli 19 na kupika mengine 15
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: IMETOSHA SASA!!ARSENAL YAMTEMA ABOU DIABY Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top