728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, September 29, 2014

    GARETH BARRY ATISHA KWA KADI ZA MANJANO EPL



    Kila mmoja na rekodi yake.Wakati nyota kama Diego Costa wa klabu ya Chelsea na Leonardo Ulloa wa Leicester City  wakiweka rekodi ya kuvifungia magoli mengi vilabu vyao katika ligi ya Epl,Gareth Barry (33) ambaye yeye ni kiungo wa kutumainiwa wa klabu ya Everton yeye anazidi kujikusanyia tu kadi za manjano.



    Barry ambaye juzi jumamosi katika mchezo wa ligi kuu kati ya klabu yake ya Everton na Liverpool alilimwa kadi ya njano dakika ya pili tu ya mchezo huo na mwamuzi Matin Atkison baada ya kumchezea madhambi Adam Lallana anafikisha jumla ya kadi 96 za njano na kuwa mchezaji wanne kuwa na idadi kubwa ya kadi hizo tangu kuanzishwa kwa ligi hiyo mwaka 1992.

    Orodha kamili iko kama ifuatavyo…
                                               

    99: Kevin Davies (Southampton, Blackburn, Bolton)

    99: Lee Bowyer (Leeds, West Ham, Newcastle, Birmingham)


    97: Paul Scholes (Manchester United)


    96: Gareth Barry (Aston Villa, Manchester City, Everton)


    92: Scott Parker (Charlton, Chelsea, Newcastle, West Ham, Tottenham, Fulham)


    89: Robbie Savage (Leicester, Birmingham, Blackburn, Derby)

    85: George Boateng (Coventry, Aston Villa, Middlesbrough, Hull City)


    83: Kevin Nolan (Bolton, Newcastle, West Ham)


    82: Philip Neville (Manchester United, Everton)


    81: Wayne Rooney (Everton, Manchester United)
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: GARETH BARRY ATISHA KWA KADI ZA MANJANO EPL Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top