728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, September 14, 2014

    FABREGAS AWEKA REKODI EPL,APIGA PASI NYINGI ZA MAGOLI



    Habari na Paul Manjale

    Kiungo mpya wa klabu ya Chelsea Muhispania Cesc Fabregas (27) ameweka rekodi mpya katika ligi kuu ya Uingereza maarufu kama Backleys Premier League baada ya kutoa pasi sita za magoli katika michezo sita mfululizo ya ligi hiyo.
    Fabregas ameweka rekodi hiyo kufuatia pasi mbili alizotoa kwa mshambuliaji Diego Costa  dhidi ya Swansea,moja dhidi ya Everton na moja nyingine dhidi ya Leicester City na mbili dhidi ya Burney wiki kadhaa zilizopita huku mwaka 2011 akiiaga ligi hiyo kwa pasi nyingine tatu dhidi ya Bolton na Tottenham akiwa na jezi ya Arsenal kabla ya kutimkia Barcelona.

    Wakati Fabregas akiweka rekodi hiyo ya aina yake,watambue nyota  wengine watano walioweka rekodi ya kufumania nyavu katika michezo mitano mfululizo ya Backleys

    Darren Anderton – Spurs,1992/93

    Gianfranco Zola – Chelsea,2002/03


    Ryan Giggs – Man United,2002/03



    Thierry Henry – Arsenal,2004/05

    Antonio Valencia – Man United,2011/12



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: FABREGAS AWEKA REKODI EPL,APIGA PASI NYINGI ZA MAGOLI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top