728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, July 11, 2015

    LA LIGA YAUZWA KWA EURO MILIONI 600

    Chama cha soka cha Hispania (LFP) rasmi kimeuza haki za matangazo ya Televisheni ya ligi ya La Liga msimu wa 2015-16 kwa
    kampuni ya Telefonica kwa kitita cha €600m.

    Kufuatia makubaliano hayo jaliyofikiwa jana ijumaa,Telefonica itakuwa ikirusha "LIVE" michezo yote ya ligi ya La Liga, La Segunda huku mechi za Copa del Rey zikilipiwa kwa mfumo wa pay -per -view.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LA LIGA YAUZWA KWA EURO MILIONI 600 Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top