728x90 AdSpace

Thursday, July 30, 2015

MAN UNITED YAUSHINDWA MUZIKI WA PSG YAKUNG'UTWA 2-0 KOMBE LAENDA UFARANSA



Chicago,Marekani.

Manchester United imemaliza vibaya mechi zake za kujiandaa na msimu mpya wa ligi baada ya kukubali kipigo cha goli 2-0 toka kwa Paris Saint Germain katika mchezo mkali wa michuano ya ICC uliopigwa katika dimba la Soldier Field,Chicago.

PSG walipata magoli hayo kipindi cha kwanza kupitia kwa kiungo wake Blaise Matuidi na mshambuliaji wake Zlatan Ibrahimovic na kutwaa taji la ICC.

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: MAN UNITED YAUSHINDWA MUZIKI WA PSG YAKUNG'UTWA 2-0 KOMBE LAENDA UFARANSA Rating: 5 Reviewed By: Unknown