728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, July 30, 2015

    MAN UNITED YAUSHINDWA MUZIKI WA PSG YAKUNG'UTWA 2-0 KOMBE LAENDA UFARANSA



    Chicago,Marekani.

    Manchester United imemaliza vibaya mechi zake za kujiandaa na msimu mpya wa ligi baada ya kukubali kipigo cha goli 2-0 toka kwa Paris Saint Germain katika mchezo mkali wa michuano ya ICC uliopigwa katika dimba la Soldier Field,Chicago.

    PSG walipata magoli hayo kipindi cha kwanza kupitia kwa kiungo wake Blaise Matuidi na mshambuliaji wake Zlatan Ibrahimovic na kutwaa taji la ICC.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MAN UNITED YAUSHINDWA MUZIKI WA PSG YAKUNG'UTWA 2-0 KOMBE LAENDA UFARANSA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top