728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, July 21, 2015

    WANGA ASAINI MWAKA MMOJA AZAM FC

    Mshambulizi wa timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars aliyekuwa anakipiga El Merrikh Allan Wanga amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Azam FC mchana huu na kukamilisha idadi ya wachezaji saba wa kimataifa.

    Nyota wengine wa kigeni waliopo Azam FC ni Jean Baptiste Mugiraneza ‘Migi’ kutoka APR ya Rwanda na Serge Wawa Pascal, Kipre Michael Balou, Kipre Tchetche wote wa Ivory Coast, Brian Majwega wa Uganda na Didier Kavumbangu wa Burundi, ambao wote walikuwepo tangu msimu uliopita.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: WANGA ASAINI MWAKA MMOJA AZAM FC Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top