728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, July 29, 2015

    CHELSEA YAITAMBIA BARCERONA YAIBWAGA KWA PENATI 4-2



    Washington, Marekani.

    Chelsea imeendelea kuvinyanyasa vilabu vinavyotoka nnje ya England baada ya alfajiri ya kuamkia leo kuibuka na ushindi wa penati 4-2 dhidi ya Barcelona katika mchezo mkali wa International Champions Cup uliopigwa huko Washington,Marekani.

    Mpaka dakika tisini za muda wa kawaida zinafikia tamati timu hizo zilikuwa sare ya goli 2-2.Magoli ya Barcelona yalifungwa na Louis Suarez (52) na Sandro Ramirez (66) huku yale ya Chelsea yakifungwa na Eden Hazard (10) na Garry Cahill (85).

    Allen Halilovic na Gerrard Pique walikosa penati kwa upande wa Barcelona huku Loic Remmy na Ramires wakiifungia Chelsea.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: CHELSEA YAITAMBIA BARCERONA YAIBWAGA KWA PENATI 4-2 Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top