728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, July 24, 2015

    MAN CITY YAFUNZWA SOKA NA REAL MADRID YAGONGWA 4-1 MELBOURNE



    Melbourne,Australia.

    Manchester City imekiona cha mtema kuni baada ya leo kufungwa na Real Madrid kwa jumla ya goli 4-1 katika mchezo mkali wa kikombe cha International Champions Cup ulioisha hivi punde huko Melbourne,Australia.

    Magoli ya Real Madrid yamewekwa kimiani na Karim Benzema,Cristian Ronaldo,Pepe na Denis Cheryshev huku lile la Manchester City likifungwa na Yaya Toure.

    DELPH
    Kiungo mpya wa Manchester City Fabian Delph alitolewa nnje ya dimba kwa machela dakika ya 28 baada ya kuumia misuli.

    KITUKO
    Shabiki mmoja alishindwa kujizuia na kujikuta akiingia uwanjani akitaka kumkumbatia nyota wa Real Madrid Gareth Bale.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MAN CITY YAFUNZWA SOKA NA REAL MADRID YAGONGWA 4-1 MELBOURNE Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top