728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, July 31, 2015

    USAJILI ULIOKAMILIKA HIVI PUNDE:JOVETIC ATUA INTER MILAN,ASTON VILLA YANASA WAWILI KWA MPIGO,ADEBAYOR YUKO NJIANI




    Hekaheka za usajili zimeendelea kupamba moto baada ya jioni hii vilabu vya Italia na England kuendelea kuboresha vikosi vyao kwa kusajili wachezaji wapya tayari kabisa kwa msimu ujao wa ligi na michuano mingine.

    INTER MILAN
    Jovetic:Klabu ya Inter Milan imefanikiwa kuinasa kwa mkopo wa miezi 18 saini ya mshambuliaji wa klabu ya Manchester City Stevan Jovetic,25.Baada ya mkopo huo kuisha Inter Milan itamsajili nyota huyo wa Montenegro.

    ASTON VILLA
    Klabu ya Aston Villa imekamilisha usajili wa nyota wawili kwa mpigo jioni ya leo baada ya kumnasa kiungo Mfaransa Jordan Veretout (22) kutoka Nantes na mshambuliaji Mbenin Rudy Gestede (26) toka klabu ya Blackburn Rovers.Ada za uhamisho bado hazijawekwa wazi.

    Wakati huo huo klabu ya Aston Villa imeripotiwa kuwa karibu kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa Tottenham Emanuel Adebayor kwa uhamisho wa mkopo baada ya kukubali kumlipa nyota huyo mshahara wa 100,000 kwa wiki.He
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: USAJILI ULIOKAMILIKA HIVI PUNDE:JOVETIC ATUA INTER MILAN,ASTON VILLA YANASA WAWILI KWA MPIGO,ADEBAYOR YUKO NJIANI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top