728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, July 31, 2015

    EUROPA LIGI:WESTHAM YABANWA NYUMBANI,SOUTHAMPTON MAMBO SAFI,TADIC BALAA


    West Ham defender James Collins is sent off against Astra in the Europa LeagueWestham imeshindwa kuutumia vyema uwanja wake wa nyumbani wa Upton Park baada ya kulazimishwa sare ya goli 2-2 na klabu ya Astra Giurgiu ya Romania katika michezo ya raundi ya sita ya michuano ya Europa ligi jana usiku.Magoli ya Westham
    yalifungwa na Enner Valencia na Mauro Zarate huku magoli ya wageni yakifungwa na Fernando Boldrin pamoja na lile la kujifunga la mlinzi mpya wa Westham Angelo Ogbonna.Westham pia ilimpoteza mlinzi wake Collins aliyelimwa kati nyekundu kwa kuonyesha mchezo mbaya huku Enner Valencia akipata majeraha.

     Southampton v Vitesse
    Katika mchezo mwingine Southampton imeibugiza magoli 3-0 klabu ya Vitesse.Magoli ya Southampton yamefungwa na Graziano Pelle,Dusan Tadic na Shane Long.

    Matokeo mengine ya Europa ligi ni kama ifuatavyo.....


    Mechi za marudiano ni tarehe 6 Agosti
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: EUROPA LIGI:WESTHAM YABANWA NYUMBANI,SOUTHAMPTON MAMBO SAFI,TADIC BALAA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top