728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, July 30, 2015

    LEO KATIKA HISTORIA "ENGLAND YAINYUKA UJERUMANI MAGHARIBI 4-2 NA KUTWAA KOMBE LA DUNIA


    Tarehe kama ya leo julai 30 mwaka 1966 Bobby Moore
    , Geoff Hurst na Martin Peters waliisaidia England kutwaa kombe la dunia baada ya kuibuka na ushindi goli 4-2 dhidi ya Ujerumani Magharibi katika mchezo mkali uliopigwa katika dimba la Wembley,London.


    Magoli ya Ujerumani Magharibi yalifungwa na Wolfgang Weber na Helmut Haller
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LEO KATIKA HISTORIA "ENGLAND YAINYUKA UJERUMANI MAGHARIBI 4-2 NA KUTWAA KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top