728x90 AdSpace

Thursday, July 30, 2015

LEO KATIKA HISTORIA "ENGLAND YAINYUKA UJERUMANI MAGHARIBI 4-2 NA KUTWAA KOMBE LA DUNIA


Tarehe kama ya leo julai 30 mwaka 1966 Bobby Moore
, Geoff Hurst na Martin Peters waliisaidia England kutwaa kombe la dunia baada ya kuibuka na ushindi goli 4-2 dhidi ya Ujerumani Magharibi katika mchezo mkali uliopigwa katika dimba la Wembley,London.


Magoli ya Ujerumani Magharibi yalifungwa na Wolfgang Weber na Helmut Haller
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: LEO KATIKA HISTORIA "ENGLAND YAINYUKA UJERUMANI MAGHARIBI 4-2 NA KUTWAA KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Unknown