728x90 AdSpace

Tuesday, July 28, 2015

KHARTOUM ,GOR MAHIA ZATINGA NUSU FAINAL KAGAME,KESHO AZAM V YANGA..


Azam Fc v Yanga Sc 10:00

Michuano ya Kombe la Kagame imeendelea leo kwa mechi za robo fainali kupigwa.Katika mchezo wa kwanza klabu ya Khartoum (Sudan) kuibuka na ushindi mnono wa goli 4-0 dhidi ya klabu ya APR (Rwanda)

Katika mchezo wa pili klabu ya Gor Mahia imeibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya klabu ya Malakai.

Kwa matokeo haya Gor Mahia itavaana na Khartoum katika hatua ya nusu fainali

Kesho jumatano:

Al Shandy v KCCA (Uganda) 7:45 
Azam Fc v Yanga Sc 10:00
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: KHARTOUM ,GOR MAHIA ZATINGA NUSU FAINAL KAGAME,KESHO AZAM V YANGA.. Rating: 5 Reviewed By: Unknown