728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, July 12, 2015

    YAMETIMIA;LIVERPOOL YAMUUZA STERLING KWENDA MAN CITY KWA £49M,YATUMA £22M KWA SHERYSHEV



    Hatimaye Liverpool imekubali kumuuza winga wake Raheem Sterling kwenda Manchester City baada ya klab
    u hiyo ya jiji la Manchester kutoa kitita cha £49m.

    Manchester City imefanikiwa kuishawishi Liverpool kwa kiasi hicho cha fedha baada ya ofa zake kadhaa kugonga mwamba siku za hivi karibuni.

    Wakati huo huo Liverpool kuwa imetuma ofa ya £22m kwenda Real Madrid kwa ajili wa winga wake Mrusi Denis Cheryshev,24 anayekipiga kwa mkopo Villareall.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: YAMETIMIA;LIVERPOOL YAMUUZA STERLING KWENDA MAN CITY KWA £49M,YATUMA £22M KWA SHERYSHEV Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top