Klabu ya Manchester United imeendelea kuonyesha umwamba wake katika dirisha la usajili baada ya kudaiwa kufanikiwa kuinasa saini ya kiungo wa Southampton Morgan Schneiderlin kwa ada ya £25m.
Schneiderlin,25 alikamilisha vipimo vyake vya afya jana jioni na leo anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka minne utakaomuwezesha kuvuna mshahara wa £100,000 kwa wiki.
0 comments:
Post a Comment