728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, July 07, 2015

    JUVENTUS YAJICHANGANYA KUHUSU ARTURO VIDAL NA POGBA

    Rais wa klabu ya Juventus Andrea Agnelli amesema kiungo wa klabu hiyo Mchile Arturo Vidal anaweza kuuzwa muda wowote kuanzia sasa licha ya Mtendaji wa klabu hiyo Giuseppe Marotta mapema j
    ana kusema nyota huyo pamoja na mwenzie Paul Pogba hawauzwi.

    Akiongea na Tuttosport Agnelli amesema 

    "Hakuna kilicho 100% katika soka,wachezaji hawauziki kuanzia Septemba 1.Nakumbuka miaka kadhaa nyuma tulisema Christian Vieri hauzwi lakini siku chache baadae akaenda Atletico Madrid.Wachezaji wangu hawauzwi kuanzia Septemba 1.


    Kauli hiyo ya Agnelli imepokewa kwa mikono miwili na vilabu vya Arsenal na Real Madrid kuhusiwa na mpango wa kumsajili nyota huyo mahiri wa nafasi ya kiungo cha ulinzi.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: JUVENTUS YAJICHANGANYA KUHUSU ARTURO VIDAL NA POGBA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top