728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, November 17, 2014

    DI MARIA:SIJUTI KUIHAMA REAL MADRID!!HATA UNITED NITAONDOKA TU

    Winga Muargentina Angel Di Maria amesema hajutii hata kidogo kuihama klabu ya Real Madrid na kutua Manchester United.

    Di Maria ambaye alitua Manchester United kwa uhamisho wa rekodi wa karibia €70 na kuzua vita vya maneno kati yake na klabu ya Real Madrid akifanya mahojiano na Televisheni ya Ufaransa Telefoot amesema

    ``Sijuti kuhama Real Madrid,nimepata kila nilichokihitaji kama mchezaji ambacho ni mataji.Nimetwaa La Liga,Copa Del Rey na Ligi ya mabingwa"

    ``Nafurahia maisha Manchester japo soka la hapa siyo sawa na lile la La Liga"

    Asema kuondoka United kunawezekana Siku za usoni

    ``Leo niko England lakini kuhama inawezekana kwani katika soka kuna kuhamahama kwingi leo unaweza ukawa hapa kesho pale!

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: DI MARIA:SIJUTI KUIHAMA REAL MADRID!!HATA UNITED NITAONDOKA TU Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top