728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, November 08, 2014

    RODGERS:MWAMUZI AMETUUA

    Kocha mkuu wa klabu ya Liverpool Brendan Rodgers amelia na mwamuzi Antony Taylor kufuatia mwamuzi huyo kushindwa kutoa penati baada ya mlinzi wa Chelsea Garry Cahill kuzuia kwa mkono shuti la Steven Gerrard lililokuwa likielekea golini na timu yake kuambulia kipigo cha magoli 2-1 toka kwa Chelsea mchana wa leo Anfield.

    Rodgers akifanya mahojiano na BBC amesema

    ``Taylor ametunyima penati ya wazi kabisa.Nimehuzunika sana,wachezaji wamejitolea kwa moyo wote kupata ushindi lakini mwamuzi yametunyima kupata japo sare" alimaliza kocha huyo mtaratibu.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: RODGERS:MWAMUZI AMETUUA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top