728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, August 18, 2014

    SUAREZ DIMBANI LEO




    Mshambuliaji mpya wa klabu ya Fc Barcelona Mruguayi Lous Suarez leo atashuka dimbani kuichezea klabu hiyo mchezo wake wa kwanza baada ya kupunguziwa adhabu na mahakama ya michezo CAS kwa kosa la kumng’ata mchezaji wa Italia Gergio Chiellini katika fainali zilizopita za kombe la dunia.
     
    Kocha Luis Enrique akiwa katika moja ya hekaheka zake uwanjani

    Suarez akikagua meno yake baada ya kumng'ata Chiellini

    Suarez mazoezini

    Surez atakuwemo katika kikosi cha Barcelona kitakachovaana na klabu bingwa ya Mexico Club Leon katika mchezo wa kirafiki wa kuwania taji la Joan Gamper.Barcelona watautumia mchezo huo kuwatambulisha wachezaji wao wapya kabla ya kuanza mshikemshike wa ligi ya La Liga dhidi ya klabu ya Elche CF wikendi ijayo.

    Huu utakuwa ni mchezo wa kwanza kwa Suarez kuitumikia Barcelona baada ya CAS kumruhusu kufanya mazoezi pamoja na kikosi hicho pamoja na kucheza michezo ya kirafiki.

    Kocha Luis Enrique akimzungumzia Suarez amesema “Nitapenda kumtumia Suarez japo kwa dakika chache kwa kuwa hajacheza kwa muda mrefu na pia bado hajazoeana na wenzie kwani ndiyo kwanza ana siku mbili tu tangu aanze mazoezi rasmi.Nafurahi kwa kuwa katika kipindi chote cha rufaa yake alikuwa akifanya sana mazoezi binafsi………………………………………nitamtumia
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: SUAREZ DIMBANI LEO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top