728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, August 20, 2014

    HATIMAYE MARCOS ROJO ATUA MANCHESTER UNITED

    Habari na Paul Manjale

    Klabu ya Manchester United imekamilisha usajili wa mlinzi Marcos Rojo kwa ada ya paundi milioni 16 na kumsainisha mkataba wa miaka mitano huku akikabidhiwa jezi namba 5 iliyokuwa ikivaliwa na mlinzi Rio Ferdinand aliyetimkia klabu ya Queens Park Rangers.


    Rojo akiwasili makao makuu ya klabu ya Manchester United


    Wasifu mfupi wa Marcos Rojo
     
    Kuzaliwa: March 20, 1990 (Umri 24)
    Taifa: Argentinian (24 caps, 1 goal)
    Nafasi: Mlinzi wa kati/Mlinzi wa kushoto
    Vilabu: Estudiantes (2008-2011)
    Spartak Moscow (2011-2012)
    Sporting Lisbon (2012-2014)
    Manchester United (2014-)

    Yupo katika mahusiano ya kimapenzi na mwanamitindo Eugenia Lusardo ambaye wamezaa nae mtoto wa kike aitwaye Moreno
     
    Akiwa Ureno Rojo amevuna jumla ya kadi 27 za njano na nyekundu 5 akiwa na klabu ya Sporting Lisbon.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: HATIMAYE MARCOS ROJO ATUA MANCHESTER UNITED Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top