728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, June 30, 2017

    UJERUMANI YAIVUNJA VUNJA MEXICO NA KUIFUATA CHILE FAINALI MABARA


    Sochi,Urusi.

    UJERUMANI imeungana na Chile kufuzu fainali ya michuano ya mwaka huu ya kombe la mabara baada ya Alhamisi kuifunga Mexico mabao 4-1 kwenye mchezo wa nusu fainali uliochezwa huko Olimpiyskiy Stadion,Sochi,Urusi.


    Mabao ya Ujerumani yamefungwa na Leon Goretzka aliyefunga mabao mawili dakika ya 6 na 8,Timo Werner dakika ya 59 na Amin Younes dakika ya 91 .Bao la Mexico limefungwa dakika ya 89 na Marco Fabian kwa mkwaju wa mita 35.


    Sasa Ujerumani na Chile zitavaana siku ya Jumapili kwenye mchezo wa fainali utakaochwa huko St Petersburg huku Mexico na Ureno zikicheza mapema kusana mshindi wa tatu.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: UJERUMANI YAIVUNJA VUNJA MEXICO NA KUIFUATA CHILE FAINALI MABARA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top