728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, April 16, 2016

    LIGI KUU BARA:YANGA v MTIBWA U/TAIFA LEO,TANGA,MTWARA VITA KALI

    Dar es salaam,Tanzania.

    Ligi Kuu ya Bara inatarajiwa kuendelea leo jumamosi kwa michezo minne kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini, huku kila timu ikisaka ushindi katika michezo hiyo ili kujiweka katika mazingira mazuri kwenye msimamo wa ligi.

    Jumamosi, Young Africans watakua wenyeji wa Mtibwa Sugar katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, huku Ndanda FC wakiwakaribisha wakata
    miwa wa Kagera Sugar katika uwanja wa Nang’wanda Sijaona mjini Mtwara.

    Coastal Union watawakaribisha maafande wa JKT Ruvu katika uwanja
    wa Mkwakwani jinini Tanga.

    Jumapili, Simba SC watacheza na Toto Africans katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LIGI KUU BARA:YANGA v MTIBWA U/TAIFA LEO,TANGA,MTWARA VITA KALI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top