728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, April 29, 2016

    HII KALI:JERRY MURO AJA NA MPYA ADAI YANGA INA BARAKA ZA TB JOSHUA

    Picha:Jerry Muro akiwa katika kanisa la TB Joshua,Nigeria.

    Dar es salaam,Tanzania 

    Ofisa Habari wa Yanga, Jerry Muro, amesema ameiombea klabu yake
    hiyo kwa Nabii maarufu nchini Nigeria,T.B Joshua, alipokwenda nchini humo kwa ajili ya shughuli zake binafsi.

    “Ilikua Jumapili muhimu kwangu, nilishiriki ibada mbali ya kujiombea na familia yangu niliiombea klabu yangu pendwa ili iweze kufanya vizuri katika michuano ya Ligi Kuu na ile ya kimataifa ikiwemo kuchukua mataji hayo.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: HII KALI:JERRY MURO AJA NA MPYA ADAI YANGA INA BARAKA ZA TB JOSHUA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top