728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, April 23, 2016

    ARSENAL KUWAJAZA MAPESA NYOTA WAKE

    London,England.

    Arsenal imeripotiwa kuwa katika hatua za mwisho za kuwapa mikataba mipya ya muda mrefu nyota wake watatu Mesut Ozil, Alexis Sanchez na Jack Wilshere.

    Arsenal imeamua kupata mikataba mipya nyota hao licha ya kuwa bado wana mikata ya miaka miwili kwenye mikataba yao ya sasa baada ya nyota hao kuanza kunyatiwa na vilabu vya Manchester City,Barcelona na Bayern Munich.

    Habari za ndani zinadai katika mikataba hiyo mipya Ozil atakuwa akivuna kitita cha £180,000 kwa wiki,Sanchez £160,000 kwa wiki na Wilshere £110,000 kwa wiki.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: ARSENAL KUWAJAZA MAPESA NYOTA WAKE Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top