728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, April 21, 2016

    BAYERN MUNICH,BORUSSIA DORTMUND ZATINGA FAINALI YA DFB POKAL

    Berlin,Ujerumani.

    Borussia Dortmund itavaana na Bayern Munich katika mchezo wa fainali wa kombe la ligi maarufu kama  DFB-Pokal Mei 21 baada ya Jumatano usiku kuichapa Hertha Berlin 3-0 katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa huko Olympic Stadium.

    Mabao yaliyoipeleka Borussia Dortmund katika fainali ya tatu ndani ya miaka mitano yamefungwa na Gonzalo Castro (20), Marco Reus (75) na Henrikh
    Mkhitaryan (83).

    Bayer Munich ambao ni mabingwa wa kihistoria wa michuano hiyo baada ya kutwaa ubingwa mara 17 wao wametinga fainali baada ya Jumanne usiku kuichapa Werder Bremen 2-0.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: BAYERN MUNICH,BORUSSIA DORTMUND ZATINGA FAINALI YA DFB POKAL Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top