728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, April 25, 2016

    MABAO 11 YAMPA JAMIE VARDY TUZO MAALUMU

    London,England.

    Wakati Riyad Mahrez akitwaa tuzo ya mchezaji bora wa ligi kuu England kwa msimu wa 2015/16 nyota mwenzie katika klabu ya Leceister City Jamie Vardy naye hakutoka kapa.

    Jamie Vardy,28 Jana Jumapili usiku Grosvenor House,jijini London alipewa tuzo maalumu baada ya kuweka rekodi ya kufunga mabao katika michezo 11 mfululizo ya ligi kuu nchini England.

    Tuzo hiyo imepambwa kwa logo/nembo za vilabu ambayo Vardy alivifunga na kuweka rekodi hiyo adimu.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MABAO 11 YAMPA JAMIE VARDY TUZO MAALUMU Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top