MSUKULE ni nini? Ni mtu aliyechukuliwa kwa njia ya kishirikina (kichawi) akiwa mzima (hai), lakini kwa upeo wa kawaida ni dhahiri kuwa amekufa. Kazi ya kumchukua binadamu kuwa msukule inafanywa najini aitwae BAKAS anayetawala siku ya Jumamosi.
Mchawi anapomtaka mtu awe mtumwa wake (Msukule) huingia mkataba na Jini huyu BAKAS na baada ya kumtimizia mahitaji yake kazi ya kumtuma Ili alete misukule huanza.
Mchawi anapokuja kwako hutembea kinyume nyume na hutumia tundu ndogo kuingia ndani kwako.
KUMBUKA: Siku zote msukule huchukuliwa usiku kuanzia saa 7:30 mpaka Saa 9 usiku . Je una ndugu, jamaa au rafiki unaisi amechukuliwa msukule au amepotea kwenye mazingira ya kutatanisha Piga simu au whatsaap: 0754-63 63 84, au +255754636384
0 comments:
Post a Comment