TIMU ya taifa ya Hispania ya vijana ya chini ya miaka 17,La Roja usiku wa kuamkia leo Jumamosi imeandika historia nyingine kubwa baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Ulaya (Euro) ya vijana wa umri huo yalifanyika huko nchini Croatia baada ya kuwafunga vijana wenzao wa England kwa penati 4-1 baada ya sare ya mabao 2-2 katika muda wa kawaida.BOFYA MAANDISHI HAYA KWA HABARI ZAIDI
Boxing fans left outraged as ring announcer calls out wrong winner in world
title fight: 'This is a joke'
-
A bungled scorecard announcement has caused outrage following Cherneka
Johnson's title fight with Nina Hughes, with the wrong winner being named
initially.
0 comments:
Post a Comment