TIMU ya taifa ya Hispania ya vijana ya chini ya miaka 17,La Roja usiku wa kuamkia leo Jumamosi imeandika historia nyingine kubwa baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Ulaya (Euro) ya vijana wa umri huo yalifanyika huko nchini Croatia baada ya kuwafunga vijana wenzao wa England kwa penati 4-1 baada ya sare ya mabao 2-2 katika muda wa kawaida.BOFYA MAANDISHI HAYA KWA HABARI ZAIDI
The 'wine bar video' everyone in Melbourne is talking about: Footy star and
woman hit back at snarky footage blazing through WhatsApp group chats
-
This is the snarky video that has been the talk of Melbourne for the past
week.
0 comments:
Post a Comment